Tazama ongezeka, ni podikasti inayoleta neno la kutiya moyo makanisa, wapandaji wa makanisa katika vijiji, wachungaji na viongozi wa Kikristo, ni mimi mgeni wenu, Danielle Snowden.
Kumbukumbu 11;24 inasema :''Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu .......''
Makanisa mamoja ya ki Anglikane wanatembea katika maombi kando kando ya kanisa zao, wanazoziita ''piga viungo'', tendo linalo dai uwanja kwa ajili ya Mungu katika maombi.
Ndivyo tunavyofanya, kwa kudai ahadi hii tukiwa watoto wa Mungu ili kwenda kuomba kwa eneo na kikundi la watu. Baada ya hapo, anaamsha Roho wake ndani ya maisha ili wapokee Neno la Injili ambalo mutakalo waletea ninyi kama wapandaji wa makanisa.
Kuomba kunatuletea mbele ya yote roho na moyo uliyo wazi ili kusikia kwa makini mwongozo wa Mungu na kusikia nguvu zake ili kutekeleza mpango wake mkuu ndani ya Kijiji hicho na wakaaji wake. Itakuwa kwa shabaa iliyojuu ya Mungu ya kuleta Roho na wokovu wake kwa wote wasio mujuwa Yesu kama Bwana na Mwokozi.
Katika kipindi cha siku 90 za maombi na kifungo, tunafanya hivo kwa kujikusanya katika maombi kwa shabaa hiyo moja !
Kuleta injili kwa kila Kijiji cha Afrika.
Ilikuwa ongezeka, ni pamoja na wanani utagawanya nao leo neno hili la kutiya moyo ?
Mungu awabariki !

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni